KSh974.00
Moran Stadi za Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 9
Did you like this product? Add to favorites now and follow the product.
Description
Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Kiumilisi.
Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo:
• Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 9
• Maswali dadisi yametumiwa kumfikirisha mwanafunzi
• Kimejumuisha shughuli za mwanafunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawiliwawili na za makundi
• Kimejumuisha mada na mada ndogo zote
• Yaliyomo yamepangwa kulingana na mpangilio wa Kiswahili Gredi ya 9
• Yaliyomo yamewasilishwa kwa ubunifu wa kiwango cha juu
• Kimeshughulikia matokeo maalum yanayotarajiwa katika Gredi ya 9
• Kimejumuisha umilisi wa kimsingi kwa mujibu wa Mtaala wa Kiumilisi
• Kimeshughulikia masuala mtambuko yote
• Yaliyomo yanakuza maadili yanayopendekezwa katika Mtaala wa Kiumilisi
• Shughuli za ujifunzaji zinakuza stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma na Kuandika.


Reviews
There are no reviews yet.